Mkutano Mkuu wa Dharula wa Klabu ya Toto Africans unatarajiwa kufanyika tarehe 22 Novemba Mwaka huu jijini Mwanza.
Taarifa hiyo imetolewa leo na mwenyekiti wa klabu hiyo Bw. Godwin Aiko wakati akizungumza na mwanamichezo wetu wa jijini Mwanza.
Ratiba ya michuano ya Kombe la Challenji kwa Ukanda wa Afrika
Mashariki na Kati (Cecafa Senior Challenge Cup) imetoka jana ambapo timu
ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imepangwa kundi moja na wenyeji
Ethiopia.
Katika taarifa ya CECAFA iliyotolewa jana, Kilimanjaro Stars
imepangwa kundi
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Novemba 11, 2015 tayari
nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa,
headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na
Hardnews, zote ziko hapa
Kushoto ni Diwani wa kata ya Ubungo anayemaliza muda wake, Boniface Jacob akisindikizwa na Afisa usalama wa jeshi la polisi.
Diwani
wa kata ya Ubungo anayemaliza muda wake, Boniface Jacob leo
amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam
akituhumiwa kumpiga na kumjeruhi mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru,
Christopher Lisso.
Mchezaji wa timu ya taifa ya Uingereza na Manchester United Wayne
Rooney amefikia rekodi ya mkongwe wa Uingereza Sir Bobby Charlton ingawa
kwa penati. Rooney ameweza kufikia rekodi hiyo ya magoli kwa akiwa
kwenye mechi na San Marino baada ya England kushinda kwa 0-3.