TANGAZO
Jumanne, 10 Novemba 2015
Magazeti ya Tanzania leo Novemba 11, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Jumapili, 20 Septemba 2015
Alhamisi, 17 Septemba 2015
Diwani kata ya Ubungo kizimbani kwa kujeruhi
Kushoto ni Diwani wa kata ya Ubungo anayemaliza muda wake, Boniface Jacob akisindikizwa na Afisa usalama wa jeshi la polisi.
Diwani
wa kata ya Ubungo anayemaliza muda wake, Boniface Jacob leo
amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam
akituhumiwa kumpiga na kumjeruhi mwandishi wa habari wa gazeti la Uhuru,
Christopher Lisso.
Jumatano, 9 Septemba 2015
KANISA LA KATOLIKI LAJA NA MPYA SOMA HAPA

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani,
Papa Francis jana alieleza mabadiliko mapya yanayolenga kuwarahisishia
Wakatoliki kuvunja ndoa zao na kuoa upya.
Dhamira hiyo ni ishara nyingine ya
dhamira ya Papa huyo kutaka kulifanya Kanisa Katoliki liwe rafiki zaidi
na kuendana matakwa ya walio wengi.
Jumapili, 6 Septemba 2015
WAYNE ROONEY AMWAGA SIFA KWA MESSI HIKI NDICHO ALICHO KISEMA
Mchezaji wa timu ya taifa ya Uingereza na Manchester United Wayne Rooney amefikia rekodi ya mkongwe wa Uingereza Sir Bobby Charlton ingawa kwa penati. Rooney ameweza kufikia rekodi hiyo ya magoli kwa akiwa kwenye mechi na San Marino baada ya England kushinda kwa 0-3.
Jumapili, 30 Agosti 2015
Sherehe za Mswati zatakiwa kusitishwaMshirikishe mwenzako
Utawala wa kifalme
nchini Swaziland unaongozwa na mfalme Mswati umetakiwa kufutilia mbali
sherehe maarufu za kitamaduni baada ya wasichana kadha waliokuwa
wakisafiri kwenda kwa sherehe hizo kufa kwenye ajali ya barabarani.
Alie kuwa waziri wa elimu JOSEPH MUNGAI NA MKEWE WAMETANGAZA KUJIUNGA NA CHADEMA
Aliyekua Waziri wa Elimu Joseph Mungai na mkewe wametangaza kuhama CCM
na kujiunga na CHADEMA Mafinga leo ambapo mgombea urais kupitia UKAWA
/CHADEMA Edward Lowassa yupo mkoani Iringa kwaajili ya kampeni
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
