TANGAZO

TANGAZO

Jumatano, 30 Desemba 2015

SABABU 5 KWANINI MESUT OZIL NI KIPAJI ADIMU

mesut-ozil-arsenal_3010111.jpg

Tangu atue Arsenal misimu miwili iliyopita kwa ada ya pauni milioni 42 kutoka Real Madrid mchezaji Mesut Özil, klabu yake ya Arsenal imekua hailali njaa.

Wametwaa makombe ya chama cha soka FA cup katika misimu hii miwili mfululizo, Ozil akiwa chachu ya mafanikio hayo. Msimu huu pia Arsenal wako kileleni hadi sasa na tayari Mesut Ozil anakaribia kuvunja rekodi ya kutoa pasi nyingi za magoli (assists) hadi sasa ana assists 16, si kitu cha kawaida.

WAZIRI MAGHEMBE ATEMA CHECHE.......ASEMA WALIOMUITA 'WAZIRI MZIGO' WATAISOMA NAMBA



Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, aliyeapishwa jana kushika wadhifa huo na Rais Dk. John Magufuli, amefunguka na kueleza sababu za kuitwa Waziri ‘mzigo’ wakati akiwa Wizara ya Maji, akitokea Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika.

KUMBE HII NDIYO HISTORIA YA MKALI BONGO MOVIE WEMA SEPETU?ISOME YOTE UMJUE VIZURI


Wema Sepetu alizaliwa tarehe 28, September, ni mtoto wa mwisho kati ya mabinti wanne wa Mzee Sepetu.

Wema hakufikiria kama atakuja kuwa mmoja kati ya ma-star wakubwa hapa nchini hadi nchi za nje mpaka siku mmoja alipo kuwa kwenye matembezi yake Slypway Masaki alikutana na dada Mange Kimambi na kushawishiwa ashiriki mashindano ya Miss Tanzania 2006...

SAMATTA: NGUVU YA MASHABIKI ILINIFANYA NISAJILIWE TP MAZEMBE

Rais wa TP Mazembe Moise Katumbi (katikati) akiwa kazungukwa na kundi kubwa la mashabiki wa timu hiyo

Rais wa TP Mazembe Moise Katumbi (katikati) akiwa kazungukwa na kundi kubwa la mashabiki wa timu hiyo
Tunaendelea na ‘Safari Ndefu ya Mbwana Samatta kutoka Mbagala kwenda Ulaya’ jana tuliangalia namna ambavyo Samatta alitoka African Lyon akajiunga na wekundu wa Msimbazi Simba pamoja na maisha yake yote akiwa Simba. Leo tunaangalia namna alivyojiunga na timu ya TP Mazembe ambayo ndiyo imemtambulisha kwenye soka la Afrika na duniani.
Samatta anasema nguvu ya mashabiki ndiyo iltumika kumsajili yeye na haikuwa pendekezo la mwalimu wala rais wa timu hiyo

DJ wa Jay Z katua Dar es Salaam.. kumbe ana washkaji TZ !! Mengine kwenye dakika 3.. +Video


Jamaa anaitwa DJ Young Guru, huyu ndio jamaa ambae anafanya kazi kama DJ wa rapper Jay Z akiwa kwenye show zake… Hii ni safari ya pili kwa Young Guru kukanyaga Tanzania.

Pichaz 7 za Mbwana Samatta alivyokutana na waziri wa michezo Nape Nnauye wizarani Dec 30 …


December 30 ilikuwa ni siku ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kukutana na uongozi wa wizara ya habari, vijana, utamaduni, burudani na michezo Nape Nnauye

Waziri akuta ‘ofisi nzima’ wako likizo

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula      


Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula amefanya ziara ya kushtukiza Ofisi za Baraza la Ardhi na Nyumba za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam na kukuta zaidi ya nusu ya watendaji wake wako likizo.
Naibu Waziri huyo aliwasili ofisini hapo jana saa 8.30 mchana na kupokewa na mtunza kumbukumbu, Bahati Kassim ambaye ni mtumishi pekee aliyekuwapo ofisini.