TANGAZO
Jumatano, 30 Desemba 2015
WAZIRI MAGHEMBE ATEMA CHECHE.......ASEMA WALIOMUITA 'WAZIRI MZIGO' WATAISOMA NAMBA
Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa
Jumanne Maghembe, aliyeapishwa jana kushika wadhifa huo na Rais Dk. John
Magufuli, amefunguka na kueleza sababu za kuitwa Waziri ‘mzigo’ wakati
akiwa Wizara ya Maji, akitokea Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika.
KUMBE HII NDIYO HISTORIA YA MKALI BONGO MOVIE WEMA SEPETU?ISOME YOTE UMJUE VIZURI
Wema Sepetu alizaliwa tarehe 28, September, ni mtoto wa mwisho kati ya mabinti wanne wa Mzee Sepetu.
Wema hakufikiria kama atakuja kuwa mmoja kati ya ma-star wakubwa hapa
nchini hadi nchi za nje mpaka siku mmoja alipo kuwa kwenye matembezi
yake Slypway Masaki alikutana na dada Mange Kimambi na kushawishiwa
ashiriki mashindano ya Miss Tanzania 2006...
SAMATTA: NGUVU YA MASHABIKI ILINIFANYA NISAJILIWE TP MAZEMBE
Samatta anasema nguvu ya mashabiki ndiyo iltumika kumsajili yeye na haikuwa pendekezo la mwalimu wala rais wa timu hiyo
DJ wa Jay Z katua Dar es Salaam.. kumbe ana washkaji TZ !! Mengine kwenye dakika 3.. +Video
Jamaa anaitwa DJ Young Guru, huyu ndio jamaa ambae anafanya kazi kama DJ wa rapper Jay Z akiwa kwenye show zake… Hii ni safari ya pili kwa Young Guru kukanyaga Tanzania.
Pichaz 7 za Mbwana Samatta alivyokutana na waziri wa michezo Nape Nnauye wizarani Dec 30 …
December 30 ilikuwa ni siku ya mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kukutana na uongozi wa wizara ya habari, vijana, utamaduni, burudani na michezo Nape Nnauye
Waziri akuta ‘ofisi nzima’ wako likizo
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula
Dar
es Salaam. Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
Angelina Mabula amefanya ziara ya kushtukiza Ofisi za Baraza la Ardhi na
Nyumba za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam na kukuta zaidi ya
nusu ya watendaji wake wako likizo.
Naibu
Waziri huyo aliwasili ofisini hapo jana saa 8.30 mchana na kupokewa na
mtunza kumbukumbu, Bahati Kassim ambaye ni mtumishi pekee aliyekuwapo
ofisini.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
