TANGAZO

TANGAZO

Jumanne, 5 Januari 2016

JE? WAJUA HELUFI YA MWANZO MWA JINA LAKO INAWEZA KUKUONESHA TABIA ZAKO? SOMA HAPA.................


A; Haraka, Pupa ya Maisha
Wenye jina linaloanza na herufi ”A” ni Watu wanaopenda mambo makubwa, Wanajiamini, na wenye uwezo wa kutimiza malengo yao, Ni watu wenye tahadhari Katika kila jambo, Wachangamfu na wanaopenda Matukio. Wanapenda kuheshimiwa, Wanapenda mamlaka, Wana kiburi na ni Watu wenye hasira.
B; Inawakilisha Kazi, Pesa, Mapenzi, Ujenzi.
Wenye jina linaloanza na herufi “B” ni Watu Wakarimu , Waaminifu na Wenye kupenda kazi. Ni watu Jasiri, Shujaa na Wakatili katika vita au pale wanapotaka kulinda vyake au vilivyo katika himaya au Mamlaka yao.

Uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa DART

OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA – TAMISEMI
NEMBO YA TAIFATAARIFA KWA UMMA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Boniface Simbachawene (Mb) kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 2(2) cha Amri ya kuanzisha Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), (The Executive Agencies) (The Dar Rapid Transit Agency) (Establishment) Order ) Tangazo la Serikali namba 120 la 2007, amemteua Mhandisi Ronald Lwakatare kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa

Jumatatu, 4 Januari 2016

MTU MMOJA ADAIWA KUKUTWA AMEFARIKI LEO ASUBUHI JIJINI MBEYA.

Mtu mmoja Jijini Mbeya (PICHANI JUU) ambaye hakuweza kutambulika kwa Majina,inadaiwa amekutwa amefariki  leo asubuhi kwenye moja ya uchochoro  wa nyumba zilizopo katika mtaa wa Mwamfupe.

Hii ni mipango mingine ya meneja wa Chelsea Guus Hiddink kwa klabu yake…



Pamoja na mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chelsea kupoteza matumaini ya kutwaa ubingwa kwa mara nyingine lakini kocha wao mpya Guus Hiddink ana mipango mingine ya ushindi.
Baada ya ushindi wa jana wa mabao 3-0 Hiddink amesema klabu yake hiyo inaweza kumaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi nne bora za juu mwishoni mwa msimu huu.

NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Dk Hussein Mwinyi – Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Dk Hussein Mwinyi ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi

Historia na Elimu
Dk Hussein Mwinyi ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Magufuli. Kiongozi huyu pia ni mbunge wa jimbo la Kwahani lililoko Unguja, Zanzibar.
Dk Hussein Mwinyi ana miaka 49 hivi sasa na

Aliyetapeli Sh600 milioni kwa uganga anaswa

Kamanda wa polisi wa mkoa Kilimanjaro ,

Moshi. Jeshi la Polisi limefanikiwa kumtia mbaroni mkazi mmoja wa jijini Dar es Salaam, anayetuhumiwa kujifanya mganga wa kienyeji na kumtapeli mke wa mmiliki wa shule moja ya sekondari Sh600 milioni.
Mtuhumiwa huyo alifanikiwa kutapeli fedha hizo baada ya mwanamke huyo kukataa ushauri wa awali kuwa ili dawa ya kufanya wanafunzi wafurike shuleni hapo ifanye kazi, waue mwanafunzi mmoja kimazingara. Alipokataa ushauri huo ndipo alipoambiwa atoe fedha ili atengenezewe dawa mbadala.

Kipindu pindu cha shika kasi Manspaa ya Morogoro


 Afisa afya Manispaa ya Morogoro:GABRIEL MALISA
Picha :maktaba
Na Thomas Wikesi
Kutokana namilipuko wa Ugonjwa wa kipindupindu  mkoani morogoro ,Afisa afya wa manispaa ya MOROGORO Bwana Gabriel Malisa amewataka wakazi wa manspaa ya hiyo kuwa makini na vyakula ambavyo wanakula hasa kwa mamantilie .
Akizungumza Na Thomas blog Malisa Amesema wameanza