TANGAZO

TANGAZO

Jumamosi, 2 Aprili 2016

SERENGETI BOYS WAWAZABA MAFARAO 2-1 TAIFA


Mechi hiyo iliokuwa ikichezeshwa na mwamuzi wa mwenye beji ya FIFA Israel Nkongo Serengeti Boys ilianza kupata bao dakika ya 15,kupitia mchezaji Benedicto aliyeachia shuti kali baada ya kuwatoka mabeki na wa timu hiyo na mpira kutinga wavuni.

Zikiendelea kushambuliana kwa kasi timu hizo huku Serengeti Boys ikimiliki mpira kwa asilimia 51, wakati Misri walimiliki kwa asilimia 49 hadi timu hizo zinakwenda mapunziko Serengeti Boys ilikuwa mbele kwa bao 1-0.

CHELSEA YAITWANGA ASTON VILLA 4-0, PATO AANZA KUANDIKA MABAO




Aston Villa (4-3-3): Guzan 4; Hutton 4, Richards 5, Lescott 5, Cissokho 4; Gana 5.5 (Lyden 83’), Sanchez 5.5 (Bacuna 66), Westwood 6; Gil 4 (Grealish 66’ 6), Gestede 5, Ayew 6.5
Subs not used: Bunn, Okore, Sinclair, Veretout 
Booked: Gana, Sanchez, Westwood
Sent off: Hutton 
Manager: Eric Black 5 

TASWIRA 11, NEWCASTLE YA BENITEZ IKIPIGWA 3-2 NA NORWICH, SASA IMECHUNGULIA DARAJA LA KWANZA



Leo, Newcastle imechapwa mabao 3-2 dhidi ya Norwich. Kama ikiruhusu ifungwe tena mechi ijayo, basi itakuwa imeteremka daraja ikiwa chini ya Kocha Rafa Benitez ambaye amejiunga nayo ili awe mkombozi.

Jumanne, 22 Machi 2016

Dogo Janja kuhusu rafiki zake kuuwawa na wengine kufungwa jela

 Dogo Janja ni msanii wa bongofleva ambaye alikaa kwa ukimya wa miaka zaidi ya mitatu bila kufanya muziki lakini sasa amerudi, Nimekuletea alivo weza kuongelea ishu mbalimbali ikiwem kurudi kwake, maisha ya shule na mengine… 

Man City kuanza zama za Guardiola kwa kusajili wachezaji wanne au watano wenye majina makubwa

Man City kuanza zama za Guardiola kwa kusajili wachezaji wanne au watano wenye majina makubwaViongozi wa City wanaamini mazingira mazuri ya kazi, na nguvu ya usajili vitamshawishi meneja wao mpya kudumu klabuni zaidi ya miaka mitatu
Manchester City watampa Pep Guardiola ushirikiano kwa asilimia mia moja katika mkakati wa kuunda kikosi imara kwa kusajili wachezaji wanne au watano wenye majina makubwa majira ya joto,

Inaaminika kuwa simu za mkononi za Guardiola na Mkurugenzi wa michezo wa City Txiki Begiristain zimekuwa zikipokea simu nyingi kutoka kwa mawakala wa wachezaji wenye uwezo mkubwa kutoka Ligi Kuu ya Uingereza, La Liga, Bundesliga na kwingineko.

Conte akanusha vikali tetesi za kibarua cha Chelsea


Conte akanusha vikali tetesi za kibarua cha Chelsea
Kocha huyo wa Italia amehusishwa vikali na tetesi za kutua Darajani Stamford lakini yeye amesisitiza kuwa akili yake yote ipo pamoja na Azzurri kuelekea Euro 2016
Kocha huyo wa Italia Bw. Antonio Conte amekanusha taarifa hizo zinazodai kuwa anakaribia kuwa meneja wa Chelsea, akisisitiza kuwa akili yake ipo kwenye kibarua chake cha timu ya taifa inayojiandaa na michuano ya Euro 2016.

Jumatatu, 21 Machi 2016

MKUU WA WILAYA NJOMBE SARA DUMBA AFARIKI DUNIA


Nimepokea kwa masikitiko makubwa sana taarifa ya kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Njombe na aliewahi kuwa Mtangazaji wa Radio Tanzania RTD, alievuma sana na kipindi cha Mama na Mwana na vipindi vingine vingi, Dada Sara Dumba, kilichotokea ghafla usiku huu.