TANGAZO

TANGAZO

Jumatano, 3 Agosti 2016

Tazama video maonesho ya nane nane mkoani ,morogoro yakiendelea huku Wananchi wa Tanzania waombwa kutumia hasa bidhaa zinazo tengeneza hapa nchini.



Wafanyabiashara na wakulima nchini wametakiwa kupenda bidha zinazozalishwa ndani ya nchi badala yake wasipendelee kutumia bidhaa zinazozalishwa nje ya nchi.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa mauzo kutoka Kampuni ya Old Ease International JOHN MCHARO mapema hii leo wakati akiongea na WIKESI BLOGS kwenye Maonesho ya Nane nane katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere mkoani Morogoro.

Jumamosi, 2 Aprili 2016

SERENGETI BOYS WAWAZABA MAFARAO 2-1 TAIFA


Mechi hiyo iliokuwa ikichezeshwa na mwamuzi wa mwenye beji ya FIFA Israel Nkongo Serengeti Boys ilianza kupata bao dakika ya 15,kupitia mchezaji Benedicto aliyeachia shuti kali baada ya kuwatoka mabeki na wa timu hiyo na mpira kutinga wavuni.

Zikiendelea kushambuliana kwa kasi timu hizo huku Serengeti Boys ikimiliki mpira kwa asilimia 51, wakati Misri walimiliki kwa asilimia 49 hadi timu hizo zinakwenda mapunziko Serengeti Boys ilikuwa mbele kwa bao 1-0.

CHELSEA YAITWANGA ASTON VILLA 4-0, PATO AANZA KUANDIKA MABAO




Aston Villa (4-3-3): Guzan 4; Hutton 4, Richards 5, Lescott 5, Cissokho 4; Gana 5.5 (Lyden 83’), Sanchez 5.5 (Bacuna 66), Westwood 6; Gil 4 (Grealish 66’ 6), Gestede 5, Ayew 6.5
Subs not used: Bunn, Okore, Sinclair, Veretout 
Booked: Gana, Sanchez, Westwood
Sent off: Hutton 
Manager: Eric Black 5 

TASWIRA 11, NEWCASTLE YA BENITEZ IKIPIGWA 3-2 NA NORWICH, SASA IMECHUNGULIA DARAJA LA KWANZA



Leo, Newcastle imechapwa mabao 3-2 dhidi ya Norwich. Kama ikiruhusu ifungwe tena mechi ijayo, basi itakuwa imeteremka daraja ikiwa chini ya Kocha Rafa Benitez ambaye amejiunga nayo ili awe mkombozi.