TANGAZO

TANGAZO

Jumapili, 12 Februari 2017

AWAMU YATATU YA MAKONDA INAKUJA SOMA HAPA........


Image result for MAKONDA
                                   Picha na Mtandao
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda yupo kwenye midomo ya watu wengi baada ya sakata la dawa za kulevya kuchukua headlines na kutaja watu mbalimbali kwenye orodha hiyo.
Wiki iliyopita Paul Makonda alitaja watu 65 kwenye awamu yake ya pili na sasa yuko tayari kwa awamu ya tatu ambapo ame

Jumatano, 3 Agosti 2016

Tazama video maonesho ya nane nane mkoani ,morogoro yakiendelea huku Wananchi wa Tanzania waombwa kutumia hasa bidhaa zinazo tengeneza hapa nchini.



Wafanyabiashara na wakulima nchini wametakiwa kupenda bidha zinazozalishwa ndani ya nchi badala yake wasipendelee kutumia bidhaa zinazozalishwa nje ya nchi.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa mauzo kutoka Kampuni ya Old Ease International JOHN MCHARO mapema hii leo wakati akiongea na WIKESI BLOGS kwenye Maonesho ya Nane nane katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere mkoani Morogoro.