TANGAZO
Jumanne, 22 Machi 2016
Man City kuanza zama za Guardiola kwa kusajili wachezaji wanne au watano wenye majina makubwa
Inaaminika kuwa simu za mkononi za Guardiola na Mkurugenzi wa michezo wa City Txiki Begiristain zimekuwa zikipokea simu nyingi kutoka kwa mawakala wa wachezaji wenye uwezo mkubwa kutoka Ligi Kuu ya Uingereza, La Liga, Bundesliga na kwingineko.
Conte akanusha vikali tetesi za kibarua cha Chelsea
Kocha huyo wa Italia amehusishwa vikali na tetesi za
kutua Darajani Stamford lakini yeye amesisitiza kuwa akili yake yote ipo
pamoja na Azzurri kuelekea Euro 2016
Kocha huyo wa Italia Bw. Antonio Conte amekanusha taarifa hizo zinazodai kuwa anakaribia kuwa meneja wa Chelsea, akisisitiza kuwa akili yake ipo kwenye kibarua chake cha timu ya taifa inayojiandaa na michuano ya Euro 2016.
Jumatatu, 21 Machi 2016
Alhamisi, 18 Februari 2016
VIDEO: Serikali imeamua haya kuhusu viwango vipya vya ufaulu kwa wanafunzi…
February 18 Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2015, jambo lingine kubwa lililopewa nafasi ni hili la viwango vya ufaulu vilivyotangazwa kuanza tena kutumika.
Hapa chini kwenye hii video nakusogeza karibu na Katibu mtendaji wa baraza la mitihani Tanzania NECTA Dk. Charles Msonde.
Sentensi sita za NECTA kuhusu matokeo ya mitihani ya kidato cha nne 2015 .
February 18 baraza la mitihani Tanzania
NECTA wametangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2015 yafuatayo ni
maneno matatu waliyosemwa na katibu mtendaji wa baraza la mitihani
Tanzania NECTA Dk Charles Msonde.
“Katika
mkutano maalum wa baraza wa 110 uliofanyika February 17 2016, baraza la
mitihani Tanzania lilipitia taarifa ya matokeo ya kidato cha nne na
maarifa uliofanyika tarehe 2 hadi 27 November 2015 na kuidhinisha
kutangaza rasmi kwa matokeo hayo katika mitihani ya kidato cha nne 2015”
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2015 YAKO HAPA
Kama ujapata matokeo kidato cha nne mtu wangu wa nguvu nimekusogezea hapa
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2015 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)