TANGAZO

TANGAZO

Jumanne, 22 Machi 2016

Dogo Janja kuhusu rafiki zake kuuwawa na wengine kufungwa jela

 Dogo Janja ni msanii wa bongofleva ambaye alikaa kwa ukimya wa miaka zaidi ya mitatu bila kufanya muziki lakini sasa amerudi, Nimekuletea alivo weza kuongelea ishu mbalimbali ikiwem kurudi kwake, maisha ya shule na mengine… 

Man City kuanza zama za Guardiola kwa kusajili wachezaji wanne au watano wenye majina makubwa

Man City kuanza zama za Guardiola kwa kusajili wachezaji wanne au watano wenye majina makubwaViongozi wa City wanaamini mazingira mazuri ya kazi, na nguvu ya usajili vitamshawishi meneja wao mpya kudumu klabuni zaidi ya miaka mitatu
Manchester City watampa Pep Guardiola ushirikiano kwa asilimia mia moja katika mkakati wa kuunda kikosi imara kwa kusajili wachezaji wanne au watano wenye majina makubwa majira ya joto,

Inaaminika kuwa simu za mkononi za Guardiola na Mkurugenzi wa michezo wa City Txiki Begiristain zimekuwa zikipokea simu nyingi kutoka kwa mawakala wa wachezaji wenye uwezo mkubwa kutoka Ligi Kuu ya Uingereza, La Liga, Bundesliga na kwingineko.

Conte akanusha vikali tetesi za kibarua cha Chelsea


Conte akanusha vikali tetesi za kibarua cha Chelsea
Kocha huyo wa Italia amehusishwa vikali na tetesi za kutua Darajani Stamford lakini yeye amesisitiza kuwa akili yake yote ipo pamoja na Azzurri kuelekea Euro 2016
Kocha huyo wa Italia Bw. Antonio Conte amekanusha taarifa hizo zinazodai kuwa anakaribia kuwa meneja wa Chelsea, akisisitiza kuwa akili yake ipo kwenye kibarua chake cha timu ya taifa inayojiandaa na michuano ya Euro 2016.

Jumatatu, 21 Machi 2016

MKUU WA WILAYA NJOMBE SARA DUMBA AFARIKI DUNIA


Nimepokea kwa masikitiko makubwa sana taarifa ya kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Njombe na aliewahi kuwa Mtangazaji wa Radio Tanzania RTD, alievuma sana na kipindi cha Mama na Mwana na vipindi vingine vingi, Dada Sara Dumba, kilichotokea ghafla usiku huu.

Alhamisi, 18 Februari 2016

VIDEO: Serikali imeamua haya kuhusu viwango vipya vya ufaulu kwa wanafunzi…


February 18 Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2015, jambo lingine kubwa lililopewa nafasi ni hili la viwango vya ufaulu vilivyotangazwa kuanza tena kutumika.
Hapa chini kwenye hii video nakusogeza karibu na Katibu mtendaji wa baraza la mitihani Tanzania NECTA Dk. Charles Msonde.

Sentensi sita za NECTA kuhusu matokeo ya mitihani ya kidato cha nne 2015 .


February 18 baraza la mitihani Tanzania NECTA wametangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2015 yafuatayo ni maneno matatu waliyosemwa na katibu mtendaji wa baraza la mitihani Tanzania NECTA Dk Charles Msonde.
“Katika mkutano maalum wa baraza wa 110 uliofanyika February 17 2016, baraza la mitihani Tanzania lilipitia taarifa ya matokeo ya kidato cha nne na maarifa uliofanyika tarehe 2 hadi 27 November 2015 na kuidhinisha kutangaza rasmi kwa matokeo hayo katika mitihani ya kidato cha nne 2015”

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2015 YAKO HAPA

Kama ujapata matokeo kidato cha nne mtu wangu wa nguvu nimekusogezea hapa

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2015 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES