TANGAZO

TANGAZO

Alhamisi, 18 Februari 2016

VIDEO: Serikali imeamua haya kuhusu viwango vipya vya ufaulu kwa wanafunzi…


February 18 Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2015, jambo lingine kubwa lililopewa nafasi ni hili la viwango vya ufaulu vilivyotangazwa kuanza tena kutumika.
Hapa chini kwenye hii video nakusogeza karibu na Katibu mtendaji wa baraza la mitihani Tanzania NECTA Dk. Charles Msonde.

Sentensi sita za NECTA kuhusu matokeo ya mitihani ya kidato cha nne 2015 .


February 18 baraza la mitihani Tanzania NECTA wametangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2015 yafuatayo ni maneno matatu waliyosemwa na katibu mtendaji wa baraza la mitihani Tanzania NECTA Dk Charles Msonde.
“Katika mkutano maalum wa baraza wa 110 uliofanyika February 17 2016, baraza la mitihani Tanzania lilipitia taarifa ya matokeo ya kidato cha nne na maarifa uliofanyika tarehe 2 hadi 27 November 2015 na kuidhinisha kutangaza rasmi kwa matokeo hayo katika mitihani ya kidato cha nne 2015”

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2015 YAKO HAPA

Kama ujapata matokeo kidato cha nne mtu wangu wa nguvu nimekusogezea hapa

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2015 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES

Alhamisi, 11 Februari 2016

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo February 12 2016 kwenye Udaku, Hardnews na michezo


February 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu..

Jumatano, 10 Februari 2016

Kiasi Cha Fedha Atakachokuwa Akilipwa Mourinho Man Utd Na Muda Wa Mkataba Wake Watajwa

Tetesi za kupewa kwa Jose Mourinho na klabu ya Manchester United zinazidi kushika hatamu kila dakika.
 
Gazeti la kila siku El Confidencial leo limeripoti taarifa za ndani za mkataba unaosubiriwa kusainiwa baina ya Jose Mourinho na waajiri wake wapya Manchester United.
Taarifa za ‘Special One’ kubeba mikoba ya Van Gaal zimechapishwa na kila chombo cha habari huko England asubuhi ya leo.
Vichwa vya habari vya magazeti vimeandika kwamba: Jose Mourinho amewaambia marafiki wa karibu kwamba atakuwa boss mpya wa United kuanzia msimu ujao.

FC BARCELONA WATINGA FAINALI KWA KISHINDO BAADA YA KUWEKA REKODI HII...................

Sare ya bao 1-1 iliyoipata FC Barcelona dhidi ya Valencia jana usiku katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya kombe la Copa del Rey siyo kwamba imeiwezesha kutinga fainali ya michuano hiyo pekee bali pia imeiwezesha miamba hiyo ya Catalunya kuweka rekodi ya kucheza michezo 29 bila kupoteza mchezo hata mmoja katika michuano yote na kuvunja rekodi yake ya mwaka 2010/11 ya kucheza michezo 28 bila kupoteza.