TANGAZO

TANGAZO

Jumatano, 3 Agosti 2016

Tazama video maonesho ya nane nane mkoani ,morogoro yakiendelea huku Wananchi wa Tanzania waombwa kutumia hasa bidhaa zinazo tengeneza hapa nchini.



Wafanyabiashara na wakulima nchini wametakiwa kupenda bidha zinazozalishwa ndani ya nchi badala yake wasipendelee kutumia bidhaa zinazozalishwa nje ya nchi.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa mauzo kutoka Kampuni ya Old Ease International JOHN MCHARO mapema hii leo wakati akiongea na WIKESI BLOGS kwenye Maonesho ya Nane nane katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere mkoani Morogoro.