TANGAZO

TANGAZO

Alhamisi, 18 Februari 2016

VIDEO: Serikali imeamua haya kuhusu viwango vipya vya ufaulu kwa wanafunzi…


February 18 Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2015, jambo lingine kubwa lililopewa nafasi ni hili la viwango vya ufaulu vilivyotangazwa kuanza tena kutumika.
Hapa chini kwenye hii video nakusogeza karibu na Katibu mtendaji wa baraza la mitihani Tanzania NECTA Dk. Charles Msonde.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni