TANGAZO

TANGAZO

Alhamisi, 4 Februari 2016

INASIKITISHA… Jamaa kaota mizizi kwenye mwili wake


Moja ya ripoti iliyonifikia kutokea nchini Bangladesh ni hii ya jamaa kuugua ugonjwa wa kuota mizizi katika sehemu za viungo vyake vya mwili.
Abul Bajandar  alianza kupata hali miaka 10  iliyopita, ugonjwa huu unajulikana kama epidermodysplasia verruciformi au “ugonjwa wa binadamu mti”.
Serikali ya Bangladesh kupitia kwa Waziri wa afya Mohammad Nasim imesema itagharimia upasuaji wa kijana huyo.

MIZII 2
Chanzo: BBC Swahili
Endelea kututembelea    Thomas Wikesi 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni