TANGAZO

TANGAZO

Jumatano, 10 Februari 2016

Milioni 700 zimepotea Air Tanzania, Maamuzi ya Waziri wa Uchukuzi ni haya…(+Audio)

Serikali imebaini wizi wa takribani Milioni 700 katika Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), kupitia kampuni ya wakala wa ukatishaji tiketi ya Salama World Travel ya Komoro. 
Hapa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa anatoa maelezo yote, unaweza kumsikiliza

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni