TANGAZO

TANGAZO

Jumatano, 10 Februari 2016

FC BARCELONA WATINGA FAINALI KWA KISHINDO BAADA YA KUWEKA REKODI HII...................

Sare ya bao 1-1 iliyoipata FC Barcelona dhidi ya Valencia jana usiku katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya kombe la Copa del Rey siyo kwamba imeiwezesha kutinga fainali ya michuano hiyo pekee bali pia imeiwezesha miamba hiyo ya Catalunya kuweka rekodi ya kucheza michezo 29 bila kupoteza mchezo hata mmoja katika michuano yote na kuvunja rekodi yake ya mwaka 2010/11 ya kucheza michezo 28 bila kupoteza.


Bao la kusawazisha lililofungwa dakika za mwisho na kiungo kinda  Wilfred Kaptoum liliinyima Valencia ushindi baada ya kuongoza kwa bao la Alvaro Negredo.




Kufuatia ushindi huo FC Barcelona imefanikiwa kutinga fainali ya Copa del Rey kwa jumla ya mabao 8-1.Hii ni mara ya tano kwa FC Barcelona kutinga fainali ndani ya miaka sita na huenda ikavaana na Sevilla Mei 21 ambayo leo itakuwa ikicheza na Celta Vigo.Katika mchezo wa kwanza Sevilla iliichapa Celta Vigo kwa mabao 4-0.

 Alvaro Negredo found himself in acres of space to round Marc-Andre ter Stegen and score for Valencia in the first half
VALENCIA: Domenech Sanchez, Nunes Vezo, Diallo, Santos, Gaya Pena, Barbosa da Silva, Zahibo, Mina Lorenzo (Andre Gomes 71), Villalba Rodrigo (Salvador Edu 80), Piatti, Negredo (Bakkali 60)
Subs not used: Abdennour, Ryan, Carbonell Gil, Caballo
Goal: Negredo 39
Bookings: Diallo, Gaya Pena, Salvador Edu
 
BARCELONA: Ter Stegen, Vidal Parreu, Bartra, Mathieu, Adriano (Pereira dos Santos 76), Samper, Vermaelen, Sergi, El Haddadi, Rakitic (Camara Mesa 76), Ramirez (Kaptoum 82)
Subs not used: Masip, Gumbau, Romera Andujar, Alena
Goal: Kaptoum 84
Bookings: Samper, El Haddadi
Referee: Carlos Velasco Carballo

Sare ya bao 1-1 iliyoipata FC Barcelona dhidi ya Valencia jana usiku katika mchezo wa nusu fainali ya pili ya kombe la Copa del Rey siyo kwamba imeiwezesha kutinga fainali ya michuano hiyo pekee bali pia imeiwezesha miamba hiyo ya Catalunya kuweka rekodi ya kucheza michezo 29 bila kupoteza mchezo hata mmoja katika michuano yote na kuvunja rekodi yake ya mwaka 2010/11 ya kucheza michezo 28 bila kupoteza. Bao la kusawazisha lililofungwa dakika za mwisho na kiungo kinda Mcameroon Wilfred Kaptoum liliinyima Valencia ushindi baada ya kuongoza kwa bao la Alvaro Negredo. Kufuatia ushindi huo FC Barcelona imefanikiwa kutinga fainali ya Copa del Rey kwa jumla ya mabao 8-1.Hii ni mara ya tano kwa FC Barcelona kutinga fainali ndani ya miaka sita na huenda ikavaana na Sevilla Mei 21 ambayo leo itakuwa ikicheza na Celta Vigo.Katika mchezo wa kwanza Sevilla iliichapa Celta Vigo kwa mabao 4-0.

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni