TANGAZO

TANGAZO

Ijumaa, 5 Februari 2016

HII NIORODHA YA MAWAZIRI VIVULI


 ORODHA YA MAWAZIRI VIVULI;

1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI - Mhe. Jaffar Michael. 

2. Waziri wa Nchi Utumishi - Mhe. Ruth Molel. 

3. Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira - Mhe. Ally Saleh (Alberto).

4. Waziri wa Nchi, Sera na Bunge - Mhe. Ester Bulaya.

5. Waziri wa Fedha na Mipango - Mhe. Halima James Mdee.

6. Waziri wa Ujenzi - Mhe. James Francis Mbatia.

7. Waziri wa Nishati na Madini - Mhe. John John Mnyika.

8. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kikanda - Mhe. Peter Msigwa.

9. Waziri wa Mifugo na Uvuvi - Mhe. Magdalena Sakaya. 

10. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Mhe. Juma Hamad Omar. 

11. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi - Mh Godbless Jonathan Lema.

12. Waziri wa Ardhi - Mhe. Wilfred Lwakatare.

13. Waziri wa Maliasili na Utalii - Mhe. Ester Matiko. 

14. Waziri wa Viwanda na Biashara - Mhe. Anthony Calist Komu.

15. Waziri wa Elimu - Mhe. Suzan Limo. 

16. Waziri wa Afya - Mhe. Godwin Molel.

17. Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo - Mhe. Joseph Mbilinyi.

18. Waziri wa Maji na Umwagiliaji - Mhe. Hamidu Bobali.

19. Waziri wa Katiba na Sheria - Mhe. Tundu Antiphas Lissu.

Hapa hawajajumuishwa Manaibu Mawaziri Vivuli!

Imetangazwa na kiongozi rasmi wa upinzani bungeni hii leo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni