TANGAZO

TANGAZO

Jumatatu, 21 Machi 2016

MKUU WA WILAYA NJOMBE SARA DUMBA AFARIKI DUNIA


Nimepokea kwa masikitiko makubwa sana taarifa ya kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Njombe na aliewahi kuwa Mtangazaji wa Radio Tanzania RTD, alievuma sana na kipindi cha Mama na Mwana na vipindi vingine vingi, Dada Sara Dumba, kilichotokea ghafla usiku huu.

Hakika ni taarifa ya kusikitisha sana na ni pigo kubwa kwa familia yake na tasnia nzima ya habari. 

Mungu aiweke Roho ya Marehemu Sara Dumba, mahaha pema peponi

Amin.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni