TANGAZO

TANGAZO

Jumanne, 22 Machi 2016

Dogo Janja kuhusu rafiki zake kuuwawa na wengine kufungwa jela

 Dogo Janja ni msanii wa bongofleva ambaye alikaa kwa ukimya wa miaka zaidi ya mitatu bila kufanya muziki lakini sasa amerudi, Nimekuletea alivo weza kuongelea ishu mbalimbali ikiwem kurudi kwake, maisha ya shule na mengine… 

Tazama video akifanya interview na Millard Ayo 

 



CHANZO:MILLARD  AYO

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni