TANGAZO

TANGAZO

Jumapili, 19 Februari 2017

ILI KUITULIZA YANGA MAPEMA HIZI NI DAKIKA ALIZO PEWA MAVUGO KUIANGAMIZA

Image result for mavugo
Picha na mtandao 
Kikosi cha vinara wa Ligi Kuu Bara kinaendelea kujifua vilivyo kisiwani Unguja kwa ajili ya mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga utakaofanyika Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

ISHU YA MANJI KUINUNUA KAMPUNI YA TIGO IPO NAMNA HII.....NDIYE MMILIKI KWA SASA

Image result for YUSUPHMANJI
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ndiye mmiliki mpya wa kampuni ya simu za mikononi ya Tigo.

Manji alinunua kampuni hiyo mwishoni mwa mwaka

MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEBRUARY 20,2017


Jumapili, 12 Februari 2017

MAGAZETI YA LEO JUMATATU FEBRUARY 13,2017


AWAMU YATATU YA MAKONDA INAKUJA SOMA HAPA........


Image result for MAKONDA
                                   Picha na Mtandao
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda yupo kwenye midomo ya watu wengi baada ya sakata la dawa za kulevya kuchukua headlines na kutaja watu mbalimbali kwenye orodha hiyo.
Wiki iliyopita Paul Makonda alitaja watu 65 kwenye awamu yake ya pili na sasa yuko tayari kwa awamu ya tatu ambapo ame