TANGAZO

TANGAZO

Ijumaa, 10 Februari 2017

Kibao cha Sina swaga chake young killer kimepelekea kutokuwepo kwa maelewano kati yake na Jesus

                                   Rapa    Jesus
Msanii wa HIPOP Tanzania Aitwae JESUS amekili kutokuwepo kwa maelewano kati yake na young killer hivi sasa baada ya kibao cha Sina swaga chake young killer.



Akizungumza  katika kipindi cha Mtetemo kilichopo 101.1 sua fm  Morogoro Jesus amesema kuwa hawapo katika mawasiliano mazuri na young killer kwa sasa baada ya  kibao cha Young killer Sinaga swaga kuchukua baadhi ya mistari yake.
Jesus ambae anatamba na ngoma yake ya niache kama nilivyo aliyoimba na young killer amesema anaamini yakuwa  itakuwa poah kwasababu young killer nimetoka nae mbali naamini tutayajenga yataisha.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni