TANGAZO

TANGAZO

Alhamisi, 19 Novemba 2015

Hii ni Top 10 ya wachezaji wabunifu zaidi katika Ligi Kuu Uingereza na adui wa Taifa Stars ndani …



November 18 nimekutana na list ya wachezaji wabunifu zaidi katika Ligi Kuu Uingereza ila Top 10 hii iliyoandikwa na mtandao wa teamtalk.com imetaja majina ya wachezaji 10

RAISI DK.MAGUFULI ATEUA JINA LA WAZIRI MKUU



Kikao cha Bunge kimeendelea Dodoma leo November 19 2015, kikubwa kilichofanyika kwa siku ya leo ilikuwa ni kutajwa kwa jina la Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Jina lililoteuliwa na Rais Dk. Magufuli kushika nafasi hiyo ni la Mbunge wa Ruangwa, Majaliwa Kassim

Jumatano, 11 Novemba 2015

Magazeti ya Tanzania leo Novemba 12, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews


Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Novemba 12, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko hapa

SAMATTA AMUAHIDI KITU KIZURI RAIS MAGUFULI MGENI RASMI STARS V ALGERIA JUMAMOSI TAIFA



picha na Bin Zuber
WAKATI imetangazwa rasmi, Rais wa Jamhuri ya Dk John Pombe Magufuli atakuwa mgeni rasmi katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kati ya Taifa Stars na Algeria, mshambuliaji nyota wa timu hiyo, Mbwana Samatta amesema amepania makubwa.
Akizungumza na Waandishi wa Habari ofisini kwake mchana wa leo mjini Dar es Salaam, Mkuu wa Mkoa, Saidy Mecky Sadick amesema kwamba Rais Magufuli ndiye mgeni rasmi katika mchezo huo.
Mecky Sadick amesema Rais huyo mpya wa awamu ya tano amekubali wito huo ili kujitokeza kuongoza kampeni ya kuwahasisha wachezaji wa Tanzania kuifunga Algeria Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Jumamosi.


Mbwana Samatta amempa ahadi nzuri Rais Dk John Pombe Magufuli kuelekea mchezo wa Taifa Stars na Algeria Jumamosi   

Aidha, Samatta kwa upande wake amesema kwamba

Stori za Yanga kumsajili Hassan Kessy wa Simba, kuachwa Andry Coutinho majibu ndio haya

Ikiwa Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kupisha mchezo kati ya Taifa Stars dhidi ya Algeria na kupisha michuano ya Kombe la Challenge hadi December 12, homa ya dirisha dogo la usajili imeanza kwa vilabu kadhaa kuanza kuhusishwa kunyemelea saini za wachezaji.

Baada ya kocha mkuu wa Simba kutoelewana na msaidizi wake, haya ndio maamuzi ya Matola …

TOTO AFRICANS YAITISHA MKUTANO WA DHARURA

Toto logo 

Mkutano Mkuu wa Dharula wa Klabu ya Toto Africans unatarajiwa kufanyika tarehe 22 Novemba Mwaka huu jijini Mwanza.
Taarifa hiyo imetolewa leo na mwenyekiti wa klabu hiyo Bw. Godwin Aiko wakati akizungumza na mwanamichezo wetu wa jijini Mwanza.

Jumanne, 10 Novemba 2015

CHALLENGE CUP: KILIMANJARO STARS YAPANGWA NA WENYEJI

John Bocco-Stars
Ratiba ya michuano ya Kombe la Challenji kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa Senior Challenge Cup) imetoka jana ambapo timu ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imepangwa kundi moja na wenyeji Ethiopia.
Katika taarifa ya CECAFA iliyotolewa jana, Kilimanjaro Stars imepangwa kundi

Magazeti ya Tanzania leo Novemba 11, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews



Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Novemba 11, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko hapa