TANGAZO

TANGAZO

Alhamisi, 19 Novemba 2015

RAISI DK.MAGUFULI ATEUA JINA LA WAZIRI MKUU



Kikao cha Bunge kimeendelea Dodoma leo November 19 2015, kikubwa kilichofanyika kwa siku ya leo ilikuwa ni kutajwa kwa jina la Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Jina lililoteuliwa na Rais Dk. Magufuli kushika nafasi hiyo ni la Mbunge wa Ruangwa, Majaliwa Kassim
Majaliwa ambaye alikuwa Naibu Waziri wa TAMISEMI katika Serikali ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.

 MAJA


Majaliwa Kassim Majaliwa


 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni