TANGAZO

TANGAZO

Jumatatu, 22 Juni 2015

SIMBA SPORTS CLUB YA ZINDUA TOVUTI YAKE


AfisaMtendajiMkuuwa EAG Group Imani Kajula Akimwelezea Jambo Rais wa Simba Sport Club Evans Aveva (Aliyekaa) Wakati wa Uzinduzi wa Tovuti ya Club Hiyo Anayeshuhudia ni Makamu wa Rais wa Club ya Simba Geofrey Nyange ‘Kaburu

Simba Sports Club leo hiiimezindua tovuti yake Ili kukuza  mawasiliano  na  wadau wake mbalimbali  hususani; wanachama, wapenzi, vyombo  vya  habari na wadau wengine muhimu.

SOMA HAPA RATIBA YOTE YA EPL YA MSIMU MPYA 2015/2016


  


     

MECHI ZA UFUNGUZI HIZI HAPA
Bournemouth vs Aston Villa
Arsenal vs West Ham United
Chelsea vs Swansea City
Everton vs Watford
Leicester City vs Sunderland
Manchester United vs Tottenham Hotspur
Newcastle United vs Southampton
Norwich City vs Crystal Palace
Stoke City vs Liverpool
West Bromwich Albion vs Manchester CityRatiba ya Msimu mpya wa 2015/2016 wa Ligi Kuu England imetolewa rasmi leo asubuhi hii punde  Jumatano. Ligi kuanza kutimua Vumbi Mwezi wa nane(August) tarehe 8, 2015.



United kukwaana na Tottenham Hotspur kwenye mechi ya Ufunguzi. Timu zilizopanda Ligi Kuu kama Bournemouth kuanza kumenyana na Aston Villa, Watford kapangiwa kuanza Ugenini na Everton, Norwich City kuwaalika Crystal Palace nyumbani kwao.
Chelsea itaanza utetezi wa taji la Ligi ya Uingereza wakati itakapoikaribisha nyumbani Swansea katika wikiendi ya tarehe 8-9 mwezi Agosti.
Manchester City iliomaliza pointi nane nyuma ya Chelsea itaelekea West Bromwich huku Manchester United ikikabiliana na Tottenham katika uwanja wa Old Trafford.
Arsenal itaialika West Ham ,Liverpool ikienda Stoke,Newcastle itakabiliana na Southampton huku Leicester ikiialika Sunderland nyumbani.
Bournemouth iliopandishwa daraja,Watford na Norwich zitakabiliana na Aston Villa,Everton na Crystal Palace mtawalia

Jumamosi, 20 Juni 2015

LOWASA ATIKISA MBEYA



Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akitoka nje ya Uwanja wa Ndege wa Songwe na kulakiwa na umati wa WanaCCM wa Mkoa wa Mbeya
 Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Kijana Mwenye ulemavu, Ernest Mhagama aliekuja kumpokea katika Uwanje wa Ndege Songwe, Jijini Mbeya leo Juni 19, 2015.

KAFULILA AFUNGUKA KUHUSU ZITTO&ESCROW


Naomba kuweka kumbukumbu sawa tu kwamba Zitto ni rafiki yangu tangu nikiwa CHADEMA lakini haimanishi tunakubaliana kila kitu