TANGAZO

TANGAZO

Jumamosi, 20 Juni 2015

LOWASA ATIKISA MBEYA



Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akitoka nje ya Uwanja wa Ndege wa Songwe na kulakiwa na umati wa WanaCCM wa Mkoa wa Mbeya
 Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Kijana Mwenye ulemavu, Ernest Mhagama aliekuja kumpokea katika Uwanje wa Ndege Songwe, Jijini Mbeya leo Juni 19, 2015.
 
  
 Shangwe kwa wanaCCM wa Mji wa Mbalizi, Mbeya Vijijini
 
 UMATI WAWATU MKOANI MBEYA
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni