TANGAZO

TANGAZO

Jumapili, 30 Agosti 2015

Alie kuwa waziri wa elimu JOSEPH MUNGAI NA MKEWE WAMETANGAZA KUJIUNGA NA CHADEMA

Aliyekua Waziri wa Elimu Joseph Mungai na mkewe wametangaza kuhama CCM na kujiunga na CHADEMA Mafinga leo ambapo mgombea urais kupitia UKAWA /CHADEMA Edward Lowassa yupo mkoani Iringa kwaajili ya kampeni

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni