TANGAZO

TANGAZO

Jumanne, 25 Agosti 2015

Zao la kwanza la Diamond Platnumz,Anaitwa Harmonize kwenye singo inaitwa Aiyola.

aiyolacoverfinal (1)
Diamond Platnumz ameamua kumtambulisha msanii wake wa kwanza mtu wangu kutoka kwenye lebo yake ya WCB,msanii huyu anaitwa Harmonize na hii ni singo yake ya kwanza inaitwa Aiyola,ukiisikiliza unaweza kuandika comment hapo chini.
Bonyeza play kumsikiliza mtu wangu.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni