TANGAZO

TANGAZO

Jumapili, 30 Agosti 2015

Sherehe za Mswati zatakiwa kusitishwaMshirikishe mwenzako


Utawala wa kifalme nchini Swaziland unaongozwa na mfalme Mswati umetakiwa kufutilia mbali sherehe maarufu za kitamaduni baada ya wasichana kadha waliokuwa wakisafiri kwenda kwa sherehe hizo kufa kwenye ajali ya barabarani.

Kundi linalounga mkono demokrasia nchini humo la (the Swaziland Solidarity Network) limetoa wito kwa mfalme Mswati kufutilia mbali sherehe hizo ambazo wasicha walio nusu uchi hucheza mbele ya mfalme.
CHANZO :BBC SWAHILI

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni