TANGAZO

TANGAZO

Jumapili, 2 Agosti 2015

Hii ndio zawadi ya harusi ambayo Cristiano Ronaldo anamnunulia wakala wake

Ni zawadi gani ya ndoa unaweza kumnunulia wakala namba moja wa wachezaji duniani?
‘Super agent’ Jorge Mendes, wakala wa Jose Mourinho, James Rodriguez, Nani, Falcao, Angel Di Maria, Cristiano Ronaldo – anatarajia kumuoa mchumba wake wa siku nyingi – Sandra Barbosa huko nchini Ureno.
ambaye ni mteja mkuu wa Mendes, atakuwa ‘best man’ katika harusi hiyo, na taarifa kutoka nchini Ureno zinasema mshambuliaji huyo wa Madrid anatarajia kumpa zawadi ya ‘kisiwa’ atakachomnunulia huko nchini Ugirik


Habari za Ronaldo kumzawadia Mendes zilianza kuripotiwa na mtandao wa Noticia.
Kwa mujibu wa ripoti, Ronaldo anatarajia kutumia €50m kwa ajili ya kununua kisiwa hicho.
richest men in Portugal, with a fortune believed to be in excess of €100 million.
Ronaldo won’t be the only footballer in attendance at the wedding, as he’ll be joined by James Rodriguez, Pepe and Radamel Falcao.
Chelsea manager Jose Mourinho is also set to be at the event, along with Sporting CP coach Jorge Jesus.
Other leading football personalities invited include Florentino Perez, Roman Abramovich, Peter Lim and Joan Laporta
CHANZO; MILLARDY AYO

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni