TANGAZO

TANGAZO

Jumatatu, 21 Desemba 2015

KINGWENDU ASEMA HIKI KUHUSU MADAWA YA KULEVYA

Image result for PICHA KINGWENDU
Msanii wa vichekesho maarufu kama Kingwendu amewasihi vijana ambao wanatumia Madawa ya kulevya waachane nayo kwani ya naathali kubwa sana katika maisha ya binadamu,

Akizungumza na Thomas wikesi blogs Kingwendu amesema kuwa yeye anakuwa msitari wa mbele kuhamasisha vijana kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya .


Kingwendu alisema hayo baada ya kumalizika kwa Tamasha la Matumaini ambalo limefanyika  mkoani Morogoro liliro kuwa lina zuia vijana na matumizi ya madawa ya kulevya katika tamasha hilo, kingwendu aliongozana na timu yake ya vichekesho maalufu kama Kingwendu famili ambao ni Mama wa milindimo,Misha B pia Ardo Vampaya ambao wote wamekuwa wakipinga vikali matumizi ya madawa ya kulevya.

Pia katika tamasha hilo  lililo andaliwa na Mhasisi Richard Jackson Ananja limeweza kuelimisha sana vijana ambao wana tumia madawa ya kulevya waweze kuacha na pia ameweza kufungua kituo ambacho kinawasaidia vijana walioacha matumizi ya madawa ya kulevya iliwasiweze kushawishika kurudikatika matumizi ya madawa hayo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni