TANGAZO

TANGAZO

Jumanne, 29 Desemba 2015

MINGANGE KUYATUMIA MAPUMZIKO VIZURI KUIPA NGUVU MBEYA CITY



Kocha wa Mbeya City, Abdul Mingange amesema atatumia muda wa mapumziko kujipanga upya kwa ajili ya mechi zijazo za Ligi Kuu Bara.

Katika mechi ya mwisho, Mbeya Cuty ilipoteza kwa mabao 3-0 dhidi ya mabingwa watetezi, Yanga.

“Huu muwa wa mapumziko ni mzuri kujipanga, tunaweza kuangalia mambo kadhaa tuliyokosea na kuangalia tufanye nini,” alisema.


Mingange alisema kikosi chao kimekuwa kikicheza soka safi lakini kuna mambo kadhaa kama umaliziaji analazimika kuyafanyia kazi.
chanzo:Saleh Jembe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni